Sasa tatizo la ulevi lawavamia watoto chini ya umri wa miaka 10
chini Uingereza huku wengine wakilazwa hospitalini.
Wataalam wanasema karibu watoto wapatao 380 wamefikishwa hispitalini na
kulazwa kutokana na kuchanganyikiwa kulikosababishwa na ulevi.Kunywa pombe Uzeeni ni hatari kwa akili . mzee huanza kuwa na matatizo ya kusahau sahau na kuonekana mkosa hekima na busara
ulevi noma
ReplyDelete